Wednesday, 26 July 2017

NDUGAI AKUBALI WABUNGE 8 CUF

SPIKA wa bunge la Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai amekubaliana na barua iliyotumwa na Mwenyekiti wa cha cha wananchi CUF Prof IBRAHIM LIPUMBA  kwa kuwafuta unachama wabunge 8wa chama hicho

Spika amesema kufwatia msimamo wa chama hicho kuwafuta uwanachama mabunge hao 8 wanapoteza vigezo vya kuwa wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

Alisema spika Nachuka nafasi hii kuutaarifu Umma kuwa nafasi za wabunge hao zipo wazi




   TOA MAONI YAKO

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.