Sunday, 23 July 2017

MAJALIWA AWASIMAMISHA WATUMISHI MBOZI


Waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh MAJALIWA leo ame wasimamisha kazi watumishi wa umma wa wilaya ya mbozi iliyopo mkoa Mpya wa Songwe

Mh Waziri mkuu kamsimamisha kazi mkurugenzi kaimu mkurugenzi watumiahi idara ya fedha na watumishk idara ya manunuzi

Amesema wilaya ya mbozi ni moja ya wilaya inayo nuka rushwa na ufisadi amesema watu hao wako chini ya TAKUKURU mpka watakapo toa taarifa rasmi

Kazi hyo ya kuhakikisha watumishi hao wa Umma kusimamishwa imetokana na jitihada za mbunge wa jimbo la Vwawa Mh Hasunga wa chama cha mapinduzi ccm

Mbunge huyo makini ambae pia  ni mtaalamu wa mambo ya uchumi alisema hayuko tayari kuona fedha za wapiga kura wake wananufaika wachache na huo ni mwanzo

Alimaliza na kusema Mafisadi hawana nafasi katika mkoa mpya wa Songwe

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.