Sunday, 10 September 2017

ESTER BULAYA AKAMATWE MARA MOJA

TUNAOMBA AKAMATWE MARA MOJA

Mwanasiasa na mbunge wa cha CHADEMA Ester amos bulaya ameamsha hisia za wanasiasa wengi pamoja na wananchi wapenda amani na mshikamano bila kujali itikadi za kisiasa kutokana na kile alicho kiandika katika ukurasa wake na kutukana jeshi la police kwa kuwaita WAPUMBAVU.

Mwenyekiti wa ccm tawi la bokorani JOSEPH YONA amesema vyombo vyetu vya ulinzi vinatakiwa viheshimike haiwezekani mtu apate ujasiri wa kulitukana jeshi la polisi NO HAIKUBARIKI 

Rais JPM aliagiza vyombo vyetu vya ulinzi viheshimike hili la mwanasiasa huyu halikubaliki mbali nakutukana ameingilia kazi za kipolisi ni utaratbu na wajibu wa polisi kumu hoji yeyote watakae ili kukamilisha kazi zao ikiwa dereva wa lissu ndo mtu pekee alikuwa na mbunge mpaka tukio linatokea huoni anaweza kusaidia maelezo ya awali kuhusu tukio hilo sasa what bad kama wakimuhitaji 

Nitapoteza imani na jeshi langu pendwa kama mbunge huyu hato chukuliwa hatua ili kulinda hadhi ya jeshi letu 

Alisema mwenyekiti huyo wa chama cha mapinduzi tawi la bokorani ambae amekuwa kuwa kiongozi wa chini katika chama lakini mwenye mitazamo chanya juu ya kulijenga taifa na chama kwa ujumla

2 comments:

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.