TUNAOMBA AKAMATWE MARA MOJA
Mwenyekiti wa ccm tawi la bokorani JOSEPH YONA amesema vyombo vyetu vya ulinzi vinatakiwa viheshimike haiwezekani mtu apate ujasiri wa kulitukana jeshi la polisi NO HAIKUBARIKI
Rais JPM aliagiza vyombo vyetu vya ulinzi viheshimike hili la mwanasiasa huyu halikubaliki mbali nakutukana ameingilia kazi za kipolisi ni utaratbu na wajibu wa polisi kumu hoji yeyote watakae ili kukamilisha kazi zao ikiwa dereva wa lissu ndo mtu pekee alikuwa na mbunge mpaka tukio linatokea huoni anaweza kusaidia maelezo ya awali kuhusu tukio hilo sasa what bad kama wakimuhitaji
Nitapoteza imani na jeshi langu pendwa kama mbunge huyu hato chukuliwa hatua ili kulinda hadhi ya jeshi letu
Alisema mwenyekiti huyo wa chama cha mapinduzi tawi la bokorani ambae amekuwa kuwa kiongozi wa chini katika chama lakini mwenye mitazamo chanya juu ya kulijenga taifa na chama kwa ujumla
Je kw mtzamo hpo utajuwa nn anafikiria
ReplyDeleteCrowd sjkuelewa
Delete