Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi tawi la bokorani Mh JOSEPH YONA atoa kauli nzito kwa wana ccm wapinzani na wananchi wote Mheshimiwa huyo ambae ni takribani miezi miwili sasa toka ashinde uchaguzi wa tawi na kusimikwa kuwa mwenyekiti wa tawi bokorani lililopo kata ya mtoni wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam kwa kipindi cha miaka mitano Awali mwenyekiti huyo aliwahi kuwa kada wa chadema na kiongozi mkuu ngazi ya Wilaya Temeke kwa sababu zenye mashiko aliamua kuachana na chama cha CHADEMA na kujiunga na chama tawala CCM Mwenyekiti JOSEPH YONA alisema kuna wapinzani wanacheka mimi kuwa mwenyekiti wa ccm ngazi ya tawi kwa kile wanachoona ni kushuka kisiasa lakini nataka kuwaambia mchakato wa kumpata mwenyekiti wa tawi ndani ya chama cha mapinduzi ni mgumu kuliko ule mchakato wa kumpata mwenyekiti wa chadema ngazi ya taifa Aliongeza na kusema kuwa mwenyekiti wa tawi ccm anahadhi kuliko mwenyekiti wa Taifa chadema Pia alitoa msimamo wake kuwa hana mpango wa kusogea ngazi ya mkoa wala taifa kwani katika matawi ndio kuna wanachama wanao takiwa kusaidiwa hivyo aliomba asisumbuliwe sumbuliwe yeye ni Mwenyekiti wa tawi na anataka kukaa tawini Aliwaomba wanachama wa chama cha mapinduzi na wananchi wote kwa ujumla kulaani vikali baadhi ya vyombo vya habari vinavyo toa taarifa ya kupandikiza chuki baina ya serikali na wananchi, taarifa za uchochezi hivyo alianzisha oparetion CCM KARIBU NYUMBANI WANANCHI TUSOME UHURU Aliyazungumza hayo siku ya kuwaaga wanachama wa chama cha mapinduzi Tawi la michungwani kiembe samaki lililopo Tanzinia visiwani ambalo lilifanya ziara ya siku tano katika tawa la ccm bokorani hii ni kwaajiri ya kudumisha muungano By Albert Personal assistance
Monday, 10 July 2017
DataTz Group Tech
DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
0 comments:
Post a Comment