Mwenyekiti wa ccm tawi la bokorani Mh JOSEPH YONA ameyasema hayo juzi alipo kuwa akiongea na waandishi gazeti la uhuru na mzalendo mwenyekiti huyo ambae sasa amekuwa na mitazamo chanya ya kukijenga chama cha mapinduzi kupitia tawi la bokorani lililopo Kata ya Mtoni wilaya ya Temeke mkoa Wa Dar es salaaam
Mwenyekiti wa ccm amesema kuwa hakuna democrasia ya kweli ndani ya ukawa hivyo kupelekea umoja huo kuto kuwa na tija wala manufaa kwa Taifa
Alisema kunaukandamizaji ndani ya ukawa CHADEMA wanaleta ubebari kwa vyama vingine mpka kupelekea vyama hivyo kuwa na migogoro ya ndani ya chama
Amesema na ushangaa uongozi wa ukawa unasema serikali ya ccm haina democrasia ya kweli wakati ndio chama pekee kimekuwa na uchaguzi wa huru kuanzia ngazi ya tawi mpka taifa
Alimaliza na kusema kumekuwa na ongezeko kuu la wananchi kuwa na imani na serikali yake na kuwa taka wananchi wote kuumunga mkono rais na serikali katika kutekeleza sera na mikakati akinifu ya kulikomboa Taifa
Monday, 17 July 2017
HAKUNA DEMOCRASIA YA KWELI NDANI YA UKAWA
July 17, 2017
No comments
DataTz Group Tech
DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
0 comments:
Post a Comment