Monday, 17 July 2017

HAKUNA DEMOCRASIA YA KWELI NDANI YA UKAWA



Mwenyekiti wa ccm tawi la bokorani Mh JOSEPH YONA  ameyasema hayo juzi alipo kuwa akiongea na waandishi gazeti la uhuru na mzalendo mwenyekiti huyo ambae sasa amekuwa na mitazamo chanya ya kukijenga chama cha mapinduzi kupitia tawi la bokorani lililopo Kata ya Mtoni wilaya ya Temeke mkoa Wa Dar es salaaam

Mwenyekiti wa ccm amesema kuwa hakuna democrasia ya kweli ndani ya ukawa hivyo kupelekea umoja huo kuto kuwa na tija wala manufaa kwa Taifa

Alisema kunaukandamizaji ndani ya ukawa CHADEMA wanaleta ubebari kwa vyama vingine mpka kupelekea vyama hivyo kuwa na migogoro ya ndani ya chama

Amesema na ushangaa uongozi wa ukawa unasema serikali ya ccm haina democrasia ya kweli wakati ndio chama pekee kimekuwa na uchaguzi wa huru kuanzia ngazi ya tawi mpka taifa

Alimaliza na kusema kumekuwa na ongezeko kuu la wananchi kuwa na imani na serikali yake na kuwa taka wananchi wote kuumunga mkono rais na serikali katika kutekeleza sera na mikakati akinifu ya kulikomboa Taifa                                                                                                            

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.