Umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA) ambao uliundwa na vyama vya upinzani ktk kushughulikia katiba mpya umejikuta kuwa na wakati mgumu na kuwafanya wananchi kukosa imani na ummoja huo hayo yalijidhilisha sana katika uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa kile kilichodaiwa ni uchu wa MADARAKA na maslai ya chama kimoja kimoja kuwa mbele na kuuacha ummoja huo bila muelekeo mzuri
Aidha kaimu katibu mkuu wa chama cha wanainchi (CUF) Bi Magdalena sakaya amewatuhumu baadhi ya wabunge wa chama cha chadema na kusema wamekuwa wakichangishana pesa ili kuwapa watu wafanye vurugu ionekane kuna vurugu ndani ya chama cha CUF
Imepelekea kaimu huyo kutangaza vita vikali dhidi ya CHADEMA maana imebaini ndio chanzo cha migogoro yao
Bi magdalena aliongeza na kusema kuwa CUF nichama na si taasisi ya mtu binafsi hivyo inauongozi wake kwa mujibu wa katiba hivyo hawako tayari kuona kina vurugwa na CHADEMA
Alisema kuna mipango ya kuhujumu chama chetu inayofanyawa na washiriki wa SEIF SHARIF HAMAD NA CHADEMA kwa kuwa kusanya vijana wahuni kutoka mabibo manzese tandika na vingunguti kwaajiri ya kuwapeleka mahakamani kuwa dhurumu viongozi wa chama
TOA MAONI YAKO
0 comments:
Post a Comment