Saturday, 29 July 2017

ALICHOFANYIWA JOSEPH YONA HAKIKUBALIKI

Uongozi wa chama cha mapindu tawi la bokorani umelaani kauli za mwenyekiti wa CHADEMA chalinze MATHAYO TORONGEY mwenyekiti huyo wa chadema ametoa maneno ya kujigamba kwamba liletukio la kumteka JOSEPH YONA mwenyekiti wa chama cha mapinduzi january 3 mwaka 2013 yeye anahusika au anawajua wahusika walio mteka

Kupitia ukurasa wake wa facebook MATHAYO TORONGEY Amedai kuwa operation hiyo ilifanywa baada ya chama hicho kusema Joseph yona ni msaliti wao torongey  ni mwanachadema na na mwenyekiti wa chalinze

Katibu wa siasa na uenezi wa chama cha mapinduzi tawi la bokorani GODFREY HINJUSON amesema hata kama JOSEPH YONA alifanyiwa tendo hilo akiwa CHADEMA kama chama wanalaani kauli za Mwenyekiti wa chadema MATHAYO TORONGEY nakutaka mamlaka husika kuchukua hatua dhidi yake

JOSOPH YONA aliye onyesha ukomavu wa kisiasa kwakuwa na na uwezo wakuhoji. Na kusimamia misingi ya sheria za utawala bora kitu ambacho kilimfanya ashindwe kuendelea na CHADEMA kwani CHADEMA haiendeshwi kwa misingi ya demokrasia mpka kupelekea viongozi wake na wanachama kukosa kauli dhidi ya chama chao

Kwa sasa joseph yona ni mwenyekiti wa tawi la ccm bokorani alikili kuwa ccm ni chama makini chenye kuwa na mikakati ya kuishi zaidi ya miaka Mia alienda mbali na kusema mchakato wa kumpta mwenyekiti wa tawi ccm ni mgumu kuliko mwenyekiti wa taifa Chadema

Najivunia kuwa Mwenyekiti wa  Tawi n nitawatumikia wana ccm na wananchi wote wa bokorani

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.