Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi tawi la bokorani YONA JOSEPH amesema chama cha mapinduzi ni chama makini chenye mikakati ya kuishi zaidi ya miaka mia hivyo itakuwa vigumu kutoka madarakini
Lakini pia alisema udhaifu wa wapinzani tamaa za madaraka kujilimbikizia mali mahitaji ya mtu mmja mmja ya wapinzani wanazidi kuwa imanisha wananchi kwamba hakuna maendeleo nje ya chama chamapinduzi
Alizidi kusema kuwa ni wakati wa watanzania wote sasa kumuunga mkono rais JPM kwani anania ya dhati ya kuwatumikia wananchi
Mwenyekiti huyo ambae kwasasa anaendeleza operation yke ya CCM KARIBU NYUMBANI WANANCHI TUSOME UHURU amesema kwamba wanachi wote ni wakati wa kupinga vikali vyombo vya habari vinavyo toa habari za uchochezi na ugombanisha hivyo kuwataka wananchi kusoma gazeti la uhuru kwani ni lenye tija kwa umma
By
Chairman's personal assistance
Thursday, 20 July 2017
CCM HAIWEZI KUTOKA MADARAKANI
July 20, 2017
No comments
DataTz Group Tech
DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
0 comments:
Post a Comment