IGP SIRRO amewakata wale wote walio tajwa kwenye report ya madini ya
Tanzanaite na dhahabu iliyo kabidhiwa jana katika ikulu ya magogoni
awata wajisalimishe sababu majarada yao tayari yamesha funguliwa kwa
kutimiza majukumu yao ya kuwahoji na kufanya uchunguzi ili kuubaini
ukweli
Aidha ametumia fulsa hiyo kuufahamisha Umma kuwa hali ya amani ndani ya
tanzania ni shwari kabisa na kuahidi kushirikiana na wanachi ili
kuhakikisha kuwa wale wote walio husika na kushambuliwa kwa tundu lissu
wanapatikana na sheria itafwata mkondo wake
Pia Sirro amesema watachukuliwa hatua za kisheria wale wote wanao
onyesha kufurahishwa na tukio la kushambuliwa kwa mwanasiasa na
mwanasheria wa CHADEMA
BY.
JOSEPH YONA
Friday, 8 September 2017
IGP SIRRO AWATAKA WAJISALIMISHE
September 08, 2017
No comments
DataTz Group Tech
DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.
0 comments:
Post a Comment