Friday, 8 September 2017

IGP SIRRO AWATAKA WAJISALIMISHE


IGP SIRRO amewakata wale wote walio tajwa kwenye report ya madini ya Tanzanaite na dhahabu iliyo kabidhiwa jana katika ikulu ya magogoni awata wajisalimishe sababu majarada yao tayari yamesha funguliwa kwa kutimiza majukumu yao ya kuwahoji na kufanya uchunguzi ili kuubaini ukweli


Aidha ametumia fulsa hiyo kuufahamisha Umma kuwa hali ya amani ndani ya tanzania ni shwari kabisa na kuahidi kushirikiana na wanachi ili kuhakikisha kuwa wale wote walio husika na kushambuliwa kwa tundu lissu wanapatikana na sheria itafwata mkondo wake


Pia Sirro amesema watachukuliwa hatua za kisheria wale wote wanao onyesha kufurahishwa na tukio la kushambuliwa kwa mwanasiasa na  mwanasheria wa CHADEMA

BY.


JOSEPH YONA

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.