Friday, 15 September 2017

CCM YAMPONGEZA ALIYE KODI NDEGE YA KUMSAFIRISHA LISSU KENYA

Chama cha mapinduzi kimempongeza mbunge na mwanachama mwenzao Salim Hassan Turyk Mbunge wa jimbo la mpendae kwakuonyesha utu na ukomavu wa kisiasa na upendo kwa mwanasiasa na mwanasheria wa chama cha chadema Tundu Lissu baada ya kuvamiwa na watu wasio julikana wakiwa na sira
Mbunge huyo alitoa udhamini kwaajiri ya kupatikana ndege ya kumpeleka Lissu kenya kwaajiri ya matibabu
Aidha chama kupitia polepole wamesema Mbunge huyo ni mfano wa kuigwa kunako mattzo basi tofauti za kisiasa zikae pembeni  utu na ubinadamu uchukue nafasi

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.