Sunday, 7 January 2018

Mh MPUTA AMESEMA MAGUFULI KATUFANYA TUTEMBEE KIFUA MBELE

 

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ccm kata ya mtoni Mh Mputa Zeno Maokola  amejikuta kushindwa kujizuia hisia zake juu ya Rais na Mwenyekiti wa ccm Taifa Dr Magufuli

 Mh MPUTA amesema saivi Magufuli kutufanya tutembee kufua wazi na jezi zetu za chama mtaani bila woga kwani yanayotendeka na Mwenyekiti wa Chama ni makubwa na niyakujivunia aidha Mwenyekiti huyo alisema kwa juhudi zake yeye na uongozi wake hayo kubali kuipoteza kata tena mikononi mwa wapinzani na kuahidi kushughulikia aina yoyote ya makundi ndani ya chama sisi sote kundi letu ni ccm

Mh Mputa amepinga vikali matumizi mabovu ya madaraka kwa viongozi wa chama kuanzia Ngazi yake mpaka katika Mashina tuwahudumie wananchi maana ndio waajiri wetu tufanye kazi katika mazingira ya kuheshimu haki na misingi ya utawala bora

Mh Mputa aliyasema hayo leo katika kikao nawajumbe wa mkutano mkuu kata ikiwa ni mkimbisho wa watendaji wote dani ya kata kutoka katika matawi yote na mashina ndani ya Mtoni
Pichani ni wajumbe wa mkutano mkuu wa kata wakisikiliza yale yaliyo pagwa kufanywa na uongozi waMh Mputa
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi tawi la bokorani Joseph Yona alichangia msaada katika kikao

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.