RPC MUROTO amesema kuwa dereva wa mwanasheria na mwanasiasa wa chama cha chadema ambaye alishambuliwa na risasi juzi nyumbani kwake dodoma na watu wasio julikana amesema dereva w TUNDU LISSU ametoweka dodoma bila taarifa hivyo tuna mtaka awasili katika kituo cha police mkoa wa dodoma ili kuhakikisha zoezi la upelelezi juu ya shambulio hilo
Alisema kuwa tunasikitishwa kuona dereva wa lissu hatki kutoa ushirikiano juu ya police na kumtaka afike mara moja alisisitza kuwa nimemuona akihojiwa na gazeti la mtanzania saa anashindwaje kuja kuisaidia jeshi la police
Akimaliza kwa kuwa taka wananchi kuwa wapole na kuzuia mihemko yao juu ya tukio la mwanasiasa huyo Sisi tupo tumekula kiapo cha uweridi tutafanya hivyo bila tatzo ila kama jeshi la urizi wa raia na mali zake hatuta fumbia macho kwa wale wote watakako vunja utaratibu so kwahili la lissu yote ifike sehm ashauriki






0 comments:
Post a Comment