Saturday, 9 September 2017

DEREVA WA LISSU ATAKIWA KITUONI DODOMA

RPC MUROTO amesema kuwa dereva wa mwanasheria na mwanasiasa wa chama cha chadema ambaye alishambuliwa na risasi juzi nyumbani kwake dodoma na watu wasio julikana amesema dereva w TUNDU LISSU ametoweka dodoma bila taarifa hivyo tuna mtaka awasili katika kituo cha police mkoa wa dodoma ili kuhakikisha zoezi la upelelezi juu ya shambulio hilo

   Alisema kuwa tunasikitishwa kuona dereva wa lissu hatki kutoa ushirikiano juu ya police na kumtaka afike mara moja alisisitza kuwa nimemuona akihojiwa na gazeti la mtanzania saa anashindwaje kuja kuisaidia jeshi la police

Akimaliza kwa kuwa taka wananchi kuwa wapole na kuzuia mihemko yao juu ya tukio la mwanasiasa huyo Sisi tupo tumekula kiapo cha uweridi tutafanya hivyo bila tatzo ila kama jeshi la urizi wa raia na mali zake hatuta fumbia macho kwa wale wote watakako vunja utaratibu so kwahili la lissu yote ifike sehm ashauriki

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.