Sunday, 23 July 2017

WENGINE SONGWE WAKIMBIA


Ziara ya Kiongozi mkuu wa shughuli za selikari Waziri Mkuu KASSIMU MAJALIWA katika mkoa mpya wa songwe uliopo mipakani kabisa mwa Tanzania na Zambia na Malawi imefawafanya wananchi kuonyesha imani yao kubwa na Serikali ya chama cha Mapinduzi kupelekea wanachama zaidi ya mia tatu wa chama cha democrasia na Maendeleo CHADEMA kukiama chama hicho na kujiunga na CCM

Waziri Mkuu ambae alionyesha hali ya kuto kuwa na Uvumilivu na watendaji wa serikali ambao wapo katika maslai yao na si maslai ya Umma

Wanachama wa chama cha CHADEMA wamesema tumeona ni bora tuiunge mkono selikari ya JPM chini ya Ilani ya CCM

Mmja ya wanachama walio hamia CCM alisema chadema hakuna usawa na haki hivyo democrasia imekaliwa alienda mbali na kusema jimbo la vwawa mbunge wa viti maalum kupitia CCM ni mzawa wa wilaya ya Mbozi wanamfahamu toka akiwa si mbunge lakini CHADEMA mbunge wa viti maalum si mkazi wa Mbozi ni mtu wa KILIMANJARO hivyo alisema CHADEMA ni chama cha ubaguzi kinapaswa kukataliwa na wananchi wote

Aliomba Msamaha kwa matusi aliyo wahi kutukana selikari na viongozi wa ccm aliomba kurudi kwa baba na mama

Mkuu wa mkoa wa Lindi ambae pia ni Mwenyekiti wa ccm Mbeya na Songwe aliwapokea wanachama Hao Mbele ya Waziri Mkuu wa TANZANIA

0 comments:

Post a Comment

DataTz Group Tech

DataTz Group Tech
Ni mtandao wa Kuhamasisha,Kuwawezesha Wajasirimali wadogo na wakubwa waweze kupata soko la Bidhaa/Huduma zao kwa Njia ya mtandao wa internet. Tunawatengezea BLOG, WEBSITE, LOGO, PHONE APP, vitabu, mashapisho na kurasa za Facebook, Instagram, Twitter. Wasiliana nasi kwa Email datatz88@gmail.com Simu 0763491136/0714067875/0688496762 Asante na Karibu Sana.