Ziara ya Kiongozi mkuu wa shughuli za selikari Waziri Mkuu KASSIMU MAJALIWA katika mkoa mpya wa songwe uliopo mipakani kabisa mwa Tanzania na Zambia na Malawi imefawafanya wananchi kuonyesha imani yao kubwa na Serikali ya chama cha Mapinduzi kupelekea wanachama zaidi ya mia tatu wa chama cha democrasia na Maendeleo CHADEMA kukiama chama hicho na kujiunga na CCM
Waziri Mkuu ambae alionyesha hali ya kuto kuwa na Uvumilivu na watendaji wa serikali ambao wapo katika maslai yao na si maslai ya Umma
Wanachama wa chama cha CHADEMA wamesema tumeona ni bora tuiunge mkono selikari ya JPM chini ya Ilani ya CCM
Mmja ya wanachama walio hamia CCM alisema chadema hakuna usawa na haki hivyo democrasia imekaliwa alienda mbali na kusema jimbo la vwawa mbunge wa viti maalum kupitia CCM ni mzawa wa wilaya ya Mbozi wanamfahamu toka akiwa si mbunge lakini CHADEMA mbunge wa viti maalum si mkazi wa Mbozi ni mtu wa KILIMANJARO hivyo alisema CHADEMA ni chama cha ubaguzi kinapaswa kukataliwa na wananchi wote
Aliomba Msamaha kwa matusi aliyo wahi kutukana selikari na viongozi wa ccm aliomba kurudi kwa baba na mama
Mkuu wa mkoa wa Lindi ambae pia ni Mwenyekiti wa ccm Mbeya na Songwe aliwapokea wanachama Hao Mbele ya Waziri Mkuu wa TANZANIA






0 comments:
Post a Comment